Changu Chako, Chako Changu

Historia ya Jumuiya ya nchi zinazo zungumza lugha ya Kifaransa, Francophonie

Informações:

Sinopsis

Ni Jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea historia ya siku ya kimataifa ya nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa, ama Organisation internationale de la francophonie. Nitakuletea pia ratiba za shughuli za kitamaduni kupitia vituo vya utamaduni wa Ufaransa vya Ukanda, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Frederic Francois. Kumbuka pia kutufollow kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza hapa