Habari Za Un
Operesheni za kijeshi Jammu na Kashmir hazina tija – Guterres
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:07
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Huko barani Asia majirani wawili India na Pakistani wameendelea kuoneshana mvutano kati yao kwenye eneo la Jammu na Kashmiri tangu tarehe 22 mwezi uliopita wa Aprili baada ya shambulizi huko Pahalgam. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito kama anavyoelezea Assumpta Massoi.