Habari Za Un
Evelyn Atieno: Asante UNICEF kwa kubadili Maisha ya mwanangu Fidel
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:32
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na wadau wameleta neema kwa watoto wanaoishi na ulemavu katika Kaunti ya Kisumu Magharibi mwa Kenya baada ya kuwapa msaada wa vifaa ikiwemo viti mwendo na viungo bandia kupitia mradi wa ubunifu kwa ajili ya watoto wenye ulemavu, msaada uliobadili maisha yao. Flora Nducha amefuatilia tabasamu la mama ambaye mwanye amenufaika na kiungo bandia ungana naye kwa tarifa zaidi