Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mauaji ya mwanablogu nchini Kenya, Marekani yataka Jeshi la Rwanda kuondoka DRC
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:20:12
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mengi yamejiri nchini Kenya na maeneo mengine wiki hii lakini kubwa ni maandamano ya kupinga mauaji ya kijana Albert Ojwang na kutaka maafisa wa polisi waliohusika wajiuzulu, wiki hii Marekani iliitaka nchi jirani ya Rwanda kuwaondoa wanajeshi wake kwenye ardhi ya DRC kabla ya kusainiwa kwa mkataba wa Washington, pia utasikiliza mengine mengi kwengineko duniani