Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Israeli na Iran zaendelea kushambuliana, matukio mengine duniani

Informações:

Sinopsis

Mashambulio makubwa kwa makombora kati ya Israeli na Iran, na hali inayoendelea hadi sasa, maandamano ya kupinga kifo cha mwanablogu Albert Ojwang yaliyofanyika baada ya naibu Inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat kutangaza kujiuzulu nafasi kupisha uchunguzi, hali ya kisiasa nchini DRCbaada ya waziri wa sheria Constant Mutamba kujiuzulu, na vile vile siasa za ukanda wa Afrika mashariki, Afrika ya magharibi na kaskazini na kwengineko duniani.-