Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
UN: Ni asilimia 35 pekee ya malengo ya maendeleo endelevu ndio yako katika njia sahihi kufikiwa
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:49
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Ripoti ya malengo ya maendeleo endelevu mwaka 2025, ikiwa ni miaka kumi tangu mataifa kuanza kufanyia kazi malengo hayo. Katika ripoti hiyo, UN inasema dunia bado iko nyuma katika kuhakikisha malengo hayo 17 yanaafikiwa kikamilifu kufikia mwaka wa 2030.