Habari Rfi-ki

Rais wa DRC, Felix Tschsekedi, atangaza kuunda Serikali ya umoja wa kitaifa

Informações:

Sinopsis

Karibu  kwenye kipindi cha leo ambapo tunaangazia tangazo la  Rais wa DRC, Felix Tschsekedi, kuwa  ataunda Serikali ya umoja wa kitaifa, hatua inayokuja wakati huu akiwa katika shinikizo kutoka ndani na nje ya nchi yake, kuhusu namna alivyoshughulikia mzozo wa mashariki mwa nchi yake, wakati huu waasi wa M23 wakichukua miji zaidi.