Jukwaa La Michezo
BAL: APR ya Rwanda inalenga fainali za Afrika watakaposhiriki mara ya pili
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:23:53
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Leo tumeangazia michuano ya Afcon U20 ambayo imeingia hatua ya mtoano, ripoti maalum kuhusu APR inapojiandaa kushiriki BAL kwa mara ya pili, debi za soka nchini Kenya na Tanzania zayumbayumba, promota wa ndondi kutoka Uganda ahamia nchini Kenya, uchambuzi wa fainali za ligi za klabu bingwa Ulaya, mechi ya kwanza ya Evra kwenye ndondi ya kuchanganywa yaahirishwa huko Paris huku Mohammed Salah akishinda tuzo lake la tatu la waandishi wa habari za soka