Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari 27 Mei 2025
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:16:56
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.