Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari 24 Juni 2025
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:15:13
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia imesimamisha uhamishaji kwa mabasi kutoka Israel, kufuatia shambulizi la Marekani katika vifaa vya nyuklia vya Iran ila, inajiandaa kwa uwezekano wakufanya uhamisho kama anga ya Israel itafunguliwa tena.