Habari Rfi-ki

Afrika yaendelea kuathirika kufuatia hatua ya Marekani kusitisha misaada

Informações:

Sinopsis

Nchini Zimbabwe wataalam wanasema wagonjwa wa Malaria wanaongezeka kwa kasi tangu Marekani kupitia shirika lake la USAID kukatisha misaada yake kwa nchi hiyo na bara la Afrika