Sbs Swahili - Sbs Swahili

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 108:25:56
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

Episodios

  • Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu

    06/06/2025 Duración: 07min

    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.

  • Taarifa ya Habari 6 Juni 2025

    06/06/2025 Duración: 17min

    Bunge ya Tasmania yapitisha kura yakutokuwa na imani kwa kiongozi wa jimbo hilo Jeremy Rockliff. Mswada huo ulio wasilishwa na kiongozi wa chama cha Labor Dean Winter, ulipita kwa kura 18 dhidi ya 17, Spika wa Labor Michelle O'Byrne alipiga kura iliyo toa uamuzi wa muswada huo.

  • Australia Yafafanuliwa: Unaweza zingatia kumteua mtu kwa tuzo ya Order of Australia?

    06/06/2025 Duración: 12min

    Unajua mtu anaye toa mchango usio wa kawaida katika jamii? Anaweza kuwa mtu kutoka mazingira yoyote, au mwenye taaluma yoyote.

  • Taarifa ya Habari 5 Juni 2025

    05/06/2025 Duración: 05min

    Marekani imetumia kura yake ya turufu dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, lililo kuwa likiomba kusitishwa kwa vita pamoja na misaada yakibinadam kuruhusiwa kuingia katika ukanda wa Gaza bila vizuizi.

  • Wito watolewa kwa hatua ya ziada kuchukuliwa kushughulikia gharama ya janga yaki asili

    03/06/2025 Duración: 10min

    Uchambuzi mpya wa hazina ume onesha gharama ya Kimbunga Alfred na mafuriko mengine katika majimbo ya New South Wales na Queensland imefika takriban $2.2 bilioni dollars.

  • Taarifa ya Habari 3 Juni 2025

    03/06/2025 Duración: 19min

    Seneta Dorinda Cox wa Magharibi Australia ametangaza anahama kutoka chama cha Greens, na atakuwa Seneta wa chama cha Labor hii leo Juni 3.

  • Who are the Stolen Generations? - Vizazi vilivyo ibiwa ni kina nani?

    01/06/2025 Duración: 11min

    Australia has a dark chapter of history that many are still learning about. Following European settlement, Aboriginal and Torres Strait Islander children were removed from their families and forced into non-Indigenous society. The trauma and abuse they experienced left deep scars, and the pain still echoes through the generations. But communities are creating positive change. Today these people are recognised as survivors of the Stolen Generations. - Australia ina sura ya giza ya historia ambayo wengi bado wanajifunza kuhusu. Kufuatia ujio wa wazungu, watoto wa wa, Aboriginal na Wanavisiwa wa Torres Strait wali ondolewa kutoka familia zao, nakulazimishwa kuishi katika jumuiya zisizo za kiasili. Kiwewe na unyanyasaji walio pitia uliacha makovu makubwa, na uchungu huo bado una hisika kupitia vizazi. Ila Jamii zinaleta mabadiliko chanya. Leo hawa watu wanatambuliwa kama wahanga wa vizazi vilivyo ibiwa.

  • Taarifa ya Habari 30 Mei 2025

    30/05/2025 Duración: 15min

    Wakati inaweza chukua zaidi ya mwaka kwa baadhi ya madai ya bima ya mafuriko kutatuliwa, malipo ya mara moja kwa walio athirika jimboni New South Wales yata anza kutolewa leo 30 Mei 2025.

  • Warudiana tena: mkataba mpya wa upinzani wa mseto baada ya siku nane zaku achana

    30/05/2025 Duración: 08min

    Siku nane baada ya upinzani wa mseto kuachana, vyama vya Liberal na Nationals vime tangaza kuwa vime rudiana tena.

  • Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

    27/05/2025 Duración: 16min

    Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.

  • Tafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole

    27/05/2025 Duración: 09min

    Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.

  • Taarifa ya Habari 26 Mei 2025

    26/05/2025 Duración: 06min

    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema hatua ya Israel kuzuia msaada “hai kubaliki kabisa”. Israel ina ruhusu msaada mdogo wakibinadam kuingia Gaza, baada ya takriban miezi mitatu yaku izuia, hali iliyo sababisha uhaba wa chakula na matibabu.

  • UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC

    26/05/2025 Duración: 06min

    Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.

  • Taarifa ya Habari 22 Mei 2025

    22/05/2025 Duración: 05min

    Kiongozi wa New South Wales, Chris Minns, amesema rasilimali za ziada zinatolewa kwa jumuiya ambazo zime athiriwa kwa mafuriko, katika eneo la kati ya pwaZaidi ya idadi ya watu elfu 48,000 kwa sasa wame tengwa kwa sababu ya maji ya mafuriko.

  • SBS Learn Eng pod 84 Jinsi ya kuelezea uwezo wako waku kimbia (Med)

    22/05/2025 Duración: 14min

    Je, unajua jinsi ya kuzungumzia sifa zako za kukimbia au kufanya riadha?

  • Jinsi ya kufurahia maeneo ya nyika ya Australia kwa kuwajibika

    22/05/2025 Duración: 14min

    Mandhari yakupendaza na tofauti ya Australia, kuanzia pwani hadi jangwani na yote yaliyo katikati, ni nyumbani kwa mimea ya asili na wanyama wakushangaza.

  • Taarifa ya Habari 20 Mei 2025

    20/05/2025 Duración: 17min

    Jimbo la Victoria lina tarajia kupata ziada yake ya kwanza tangu janga la UVIKO-19, wakati serikali ya Allan itakapo toa bajeti ya jimbo hii leo Jumanne 20 Mei 2025.

  • Watu wakujitolea wana jukumu kubwa nchini Australia, ila idadi yao inapungua

    20/05/2025 Duración: 10min

    Wiki ya kitaifa yakujitolea ime anza, ita kuwa kuanzia 19 Mei hadi 25 Mei 2025.

  • Taarifa ya Habari 16 Mei 2025

    16/05/2025 Duración: 15min

    Kiongozi wa Upinzani wa Shirikisho Sussan Ley, amesema kuungana tenana wanawake itakuwa kipaumbele chake kama kiongozi wa Upinzani wa shirikisho.

  • Jeremiah "kuna mkanganyo wa maadili yaki Afrika naya wazungu hapa Melbourne"

    14/05/2025 Duración: 07min

    Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi Melbourne, Victoria wame kuwa waki kabiliana na wakati mgumu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa jimbo na shirikisho.

página 1 de 26