Sinopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodios
-
Shariff "vijana tuongeze bidii katika shughuli zetu, tusitegemee wanasiasa"
26/06/2025 Duración: 11minNeno goons lina sifa mbaya katika jamii, haswa kwa vijana wengi ambao hu husishwa na maswala yanayo enda kinyume na sheria na maadili mazuri.
-
Taarifa ya Habari 24 Juni 2025
24/06/2025 Duración: 15minWaziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia imesimamisha uhamishaji kwa mabasi kutoka Israel, kufuatia shambulizi la Marekani katika vifaa vya nyuklia vya Iran ila, inajiandaa kwa uwezekano wakufanya uhamisho kama anga ya Israel itafunguliwa tena.
-
SBS Learn Eng Ep19 Jinsi ya kupanda Bustani na mimea | Bustani za jamii
24/06/2025 Duración: 13minJe, unajua jinsi ya kuzunguza kuhusu jinsi yakupanda bustani ya jamii na miema?
-
Amy alidhani amepata kazi kama mwanafunzi wa kimataifa- alikuwa amekosea
24/06/2025 Duración: 12minTangu 2024, serikali ya shirikisho imezindua sera kadhaa zaku zuia idadi ya wanafunzi wakimataifa, pamoja naku ongeza ada ya maombi ya viza ya wanafunzi na, kupunguza kasi muda wa usindikaji wa viza.
-
Taarifa ya Habari 20 Juni 2025
20/06/2025 Duración: 15minAustralia imesimamisha oparesheni katika ubalozi wake katika mji mkuu wa Iran, nakuamuru kuondoka kwa maafisa wote wa Australia kwa sababu yakudorora kwa mazingira ya usalama.
-
Jinsi bima ya nyumba na vilivyomo hufanya kazi nchini Australia
20/06/2025 Duración: 12minHaipendezi kufikiria kuhusu matukio yanayo weka nyumba na mali yako hatarini, ila haviko kawaida.
-
Taarifa ya Habari 19 Juni 2025
20/06/2025 Duración: 05minUlaya imechukua nafasi yaku fanya mashauriano na Iran, mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza, Ujerumain na Ufaransa wanazungumza na mshirika wao kutoka Iran.
-
Wakimbizi wafunga magoli na kujenga madaraja
17/06/2025 Duración: 07minWachezaji wa soka katika mashindano mjini Perth, wanafanya mengi zaidi yakufunga magoli, wanajenga madaraja kati ya jamii naku mulika nguvu ya jamii zawakimbizi wa Magharibi Australia.
-
Taarifa ya Habari 17 Juni 2025
17/06/2025 Duración: 15minWaziri Mkuu Anthony Albanese amefanya mikutano na rais mpya wa Korea Kusini, pamoja na katibu mkuu wa NATO pembezoni mwa mkutano wa G7.
-
Vyombo vya habari hufanyaje kazi nchini Australia?
17/06/2025 Duración: 18minUhuru wa vyombo vya habari na vyombo vya habari tofauti ni alama muhimu ya afya nzuri ya demokrasia ambako raia na waandishi wa habari wana mamkalaka ya kujielezeza, kupata taarifa na kuchapisha bila hofu ya kuingiliwa au adhabu kutoka kwa serikali.
-
Taarifa ya Habari 16 Juni 2025
16/06/2025 Duración: 07minWaziri Mkuu Anthony Albanese, amesema mazungumzo kati yake na mshiriki wake kutoka Canada katika mkutano wa G7, ilikuwa fursa yaku imarisha tena uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
-
Socceroos wafuzu kucheza katika Kombe la Dunia baada ya kuishinda Saudi Arabia
13/06/2025 Duración: 07minWiki hii timu ya mpira wa miguu ya taifa Socceroos, ili fuzu kwa Kombe la Dunia tena baada yakupata ushindi dhidi wenyeji wao Saudi Arabia.
-
Taarifa ya Habari 13 Juni 2025
13/06/2025 Duración: 15minBalozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Jinsi ya kuepuka ulaghai wa mapenzi nchini Australia
11/06/2025 Duración: 13minMwaka jana pekee, zaidi ya kesi 3200 za ulaghai wa mapenzi zili ripotiwa nawa Australia.
-
Taarifa ya habari 10 Julai 2025
10/06/2025 Duración: 15minKiongozi wa Tasmania wa chama cha Liberal anatarajiwa kuitisha rasmi uchaguzi wa mapema hii leo, hatua itakayo rejesha jimbo hilo la kisiwa katika uchaguzi wa pili katika muda wa miaka mbili.
-
Miaka 50 ya SBS- Waandishi wa habari waelezea nyakatu muhimu
10/06/2025 Duración: 08minSBS ina sherehekea miaka 50.
-
Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu
06/06/2025 Duración: 07minRais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.
-
Taarifa ya Habari 6 Juni 2025
06/06/2025 Duración: 17minBunge ya Tasmania yapitisha kura yakutokuwa na imani kwa kiongozi wa jimbo hilo Jeremy Rockliff. Mswada huo ulio wasilishwa na kiongozi wa chama cha Labor Dean Winter, ulipita kwa kura 18 dhidi ya 17, Spika wa Labor Michelle O'Byrne alipiga kura iliyo toa uamuzi wa muswada huo.
-
Australia Yafafanuliwa: Unaweza zingatia kumteua mtu kwa tuzo ya Order of Australia?
06/06/2025 Duración: 12minUnajua mtu anaye toa mchango usio wa kawaida katika jamii? Anaweza kuwa mtu kutoka mazingira yoyote, au mwenye taaluma yoyote.
-
Taarifa ya Habari 5 Juni 2025
05/06/2025 Duración: 05minMarekani imetumia kura yake ya turufu dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, lililo kuwa likiomba kusitishwa kwa vita pamoja na misaada yakibinadam kuruhusiwa kuingia katika ukanda wa Gaza bila vizuizi.